Social Icons

Wednesday, July 3, 2013

WASANII WA TAMASHA LA FILSMU LA GRAND MALT WATOA MSAADA WA VYANDARUA HOSPITALIYA SEKOU-TOURE JIJINI MWANZA

 Wasanii mbali mbali wakiongozwa na Ray kigosi wakikabidhi msaada wa vyandarua kwenye Hosipitali ya sekou-toure Mjini mwanza kwakatibu wa afya wa hosipitali hiyo Bwana Daniel Temba kwa kuonyesha ushirikiano wao na watanzania wenzao

No comments:

 
Blogger Templates